SMZ yapambana na Marekani

3 09 2009

Na Mwinyi Saadallah

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imesema uamuzi wa Marekani kuwazuia raia wake kutembelea kisiwa cha Pemba, si jambo la busara na kinaweza kuathiri hali ya uchumi visiwani humu.
Hayo yalielezwa jana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Kiongozi, Hamza Hassan Juma kufuatia kauli ya nchi hiyo kuwa kuna uwezekano wa kutokea vurugu wakati huu wa kuandikisha wananchi katika daftari la kudumu la wapigakura.
Alisema kwa kuwa Zanzibar inategemea sekta ya utalii, kauli hiyo inaweza kuwatia wasiwasi wageni na ndio maana serikali imeamua kueleza ukweli juu ya hali ya usalama Zanzibar.
“Watu wa Zanzibar wanakufa kwa ahadi ya Mwenyezi Mungu na watu
hukusanyika misibani na kwenye sherehe na huondoka salama, tunasema taarifa ya Marekani ni ya uongo”, alisema Waziri Hamza.
Alieleza kwamba tangu Zanzibar kuingia katika mfumo wa vyama vingi vya siasa mwaka 1992, hakuna mgeni hata mmoja aliyeuawa kwa vurugu za kisiasa.
Alieleza kwamba Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeamua kusambaza taarifa yake juu ya hali ya usalama iliyopo kwa ofisi zote za mabalozi nchini kwa vile taarifa iliyotolewa na Marekani ni ya upotoshaji.
Alisema taarifa ya Marekani kwa raia wake inaweza kusababisha athari kubwa katika sekta ya uwekezaji na inaweza kusababisha wasije Zanzibar kufungua miradi yao.
“Kama wana ushahidi na mgeni au mtalii aliwahi kuguswa tangu kuanzishwa mfumo wa vyama vingi basi watupe, tamko lao limetuumiza kiuchumi,” alisema Waziri.
Alifahamisha ni jambo la kushangaza kuona tamko kama hilo linatolewa wakati ni siku chache tu tangu mabalozi wa Jumuiya ya Nchi za Ulaya na Marekani kukutana na Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume lakini hawakumueleza hali hiyo.
Alisema katika kikao hicho, Rais Karume aliwahimiza mabalozi kutumia diplomasia kushauriana na vyombo vingine pale wanapotafuta ukweli wa mambo.
Hata hivyo, alisema inashangaza kuona Marekani inakataza raia wake wasitembelee Pemba, wakati raia wa nchi hiyo wanatembelea maeneo yenye vurugu, ikiwemo Iraq na Afghanistan.
Alisema serikali imesitisha zoezi la uandikishaji wapiga kura baada ya nchi za Ulaya kudai kuna kasoro katika utoaji vitambulisho vya ukaazi na kutoa nafasi ya kushughulikiwa mapungufu yaliyoyaona na si kutokana na kuvurugika kwa hali ya usalama.
Katika tarifa yake kwa raia wa Marekani mwishoni mwa wiki iliyopita, Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo, ilisema kuna uwezekano mkubwa wa kutokea vurugu zinazohusiana na uchaguzi wakati huu wa uandikishaji wapiga kura Pemba.
Taarifa hiyo ilisema kuna vikosi vya ulinzi na usalama vimekuwa vikipelekwa Kaskazini Pemba hasa katika Wilaya ya Wete na Micheweni, ambapo zoezi hilo lilianza na baadaye kusimamishwa.
Kutokana na hofu hiyo, Marekani iliwataka raia wake wasiokuwa na safari za lazima kuacha kutembelea kisiwa hicho hadi Disemba 20, mwaka huu.

Chanzo: Nipashe, 3 Septemba 2009





Update of the State of Membership and Contribution to ZIRPP

3 09 2009

Dear Friends and Colleagues,

Please be informed that, as of 03 September 2009, the following Zanzibaris have formally registered as members by duly filling in the application forms and paid up their annual subscription fees plus voluntary contributions to the Institute:

NAME AMOUNT PAID IN TSHS.

1. Mr. Muhammad Yussuf 400,000.00
2. Ms. Angelika Sepetu 13,500.00
3. Ms. Fatma Gharib Bilal 150.000.00
4. Mr. Abdulla Ghassani 100.000.00
5. Mr. Mohamed Khamis Baucha 100,000.00
6. Mr. Nassor Mugheiry 52,000.00
7. Ms. Mariam Mohammed Hamdani 50,000.00
8. Mr. Jumbe Said Ibrahim 50,000.00
9. Mr. Mbarouk Shaaban 50,000.00
10. Ms. Asha Abdulla 50,000.00
11 Mr. Ahmed Khamis 50,000.00
12. Mr. J. V. Karim 40,000.00
13. Mr. Farouk Karim 15,000.00
14. Mr. Shaaban Mgambo 15,000.00
15. Mr. Khamis Abdulla Ameir 15,000.00
16. Mr. Sheraly Champsi 13,500.00
17. Ms. Mwanaache Mohamed Haji 1,000.00
18, Ms. Zulekha Chully Ramadhan 13,500.00
19. Mr. Hafidh Ismail Omar 1,000.00
20. Mr. Nassor Ali Iddi 13,500.00
21. Mr. Abdulrahaman Muhammad Masoud 1,000.00
22. Ms. Alya Sened 13,500.00
23. Mr. Haji Machano Haji 13,500.00
24. Mrs. Maheba Juma Bakari 15,000.00
25. Dr. Mayasa Salum Ally 15,000.00
26. Mr. Bakar Juma Bakar 20,000.00
27. Mr. Bushiri Mahmoud Rajab 13,500.00
28. Mr. Abdulla Maulid 13,500.00
29. Mr. Narendra Gajjar 30,000.00
30. Mr. Mohammed Fakih Mohammed 50,000.00
31. Mr. Othman S. Khatib 20,000.00
32. Mr. Said Mmaka 13,500.00
33. Mr. Khamis Kombo Songoro 30,000.00
34. Mr. Abdillahi Yussuf 15,000.00
35. Mr. Marumbo Hussein Bakari 15,000.00
36. Mr. Mwinchande Sheha Khamis 13,500.00
37. Ms. Hindi Said Shindano 15,000.00
38. Ms. Salma Hamoud Said 15,000.00
39. Mr. Mohammed Khamid Hamad 15,000.00
40. Mr. Ally Saleh Abdullah 15,000.00
41. Mr. Farook Ahmed Elias 50,000.00
42. Ms. Kulthum Yussuf Himidi 20,000.00
43. Mr. Aboud Talib Aboud 14,000.00
44. Mr. Mkwale Adam Taib 14,000.00
45. Mr. Abbas Fadhil Abbas 14,000.00
46. Mr. Abdulla Muhiddin Jaha 15,000.00
47. Mr. Hamid Ramadhan Tiptip 15,000.00
48. Mr. John Doe 20,000.00
49. Mr. Hamza Zubeir Rijal 13,500.00
50. Ms. Mwantanga Ame 15,000.00
51. Prof. Ali Seif Mshimba 16,000.00
52. Mr. Juma Duni Haji 20,000.00
53. Mr. Ismail Jussa Ladhu 30,000.00
54. Dr. Malick Abdulla Juma 15,000.00

The following members have paid up their annual fees and voluntary contributions in US Dollars:

NAME AMOUNT PAID IN USD

1. Dr. Omar Juma Khatib 200.00
2. Dr. Mohamed Adam 150.00
3. Mr. Mohammed Saleh 145.00
4. Dr. Muhammad Juma 135.00
5. Ms.Talha Muhammad Yussuf 150.00
6. Dr. Hassan Omar Ali 154.00
7. Dr. Harith Ghassany 154.00
8. Amb. Ali A. Karume 140.00
9. Sheikh Abdulla Al-Harthy 100.00

I wish to take this opportunity to express, on behalf of the Institute, our sincere thanks and gratitude to all these men and women for filling in the application forms and paid up their annual contributions in full and on time. We are also grateful for those who made additional payments in the form of voluntary contributions to the Institute for their generosity. Indeed, this is a vivid manifestation of their unflinching commitment to the work and ideals of the Institute for which we are highly appreciative.

Finally, we would like to take this opportunity to urge all those Zanzibaris (and non Zanzibaris alike) who have not yet filled in the application forms to do so as soon as possible. Your invaluable contributions to the Institute will be highly appreciated.

Thanking you in advance for your continued support and understanding.

Warm Regards,

Muhammad Yussuf
Interim Executive Director
Zanzibar Institute for Research and Public Policy
P.O. Box 416
Zanzibar
TANZANIA
Tel: 0777 707820 Cellular
Tel: 0242 233526 Office
Email: yussufm@gmail.com





Announcement – ZIRPP Fourth Ordinary Meeting

3 09 2009

Dear All,

This is to let you know that due to the exigencies of the Holy Month of Ramadhan, ZIRPP Fourth Ordinary Meeting that was scheduled to take place on Saturday 05 September 2009 has been postponed. You will be informed of the exact date, time and venue for the next meeting in due course.

Ramadhan Kareem,

Muhammad Yussuf
Interim Executive Director
Zanzibar Institute for Research and Public Policy
P.O. Box 416
Zanzibar
TANZANIA
Tel: 0777 707820 Cellular
Tel: 0242 233526 Office
Email: yussufm@gmail.com
http://www.zirppo.wordpress.com